Monday, February 24, 2014

BW.MWEMBE MFUGAJI ATUMIAYE MBWA KUCHUNGA NG'OMBE

Na Steve Jonas, Mbeya
0762 876 892

MWEMBE ni jina maarufu Wilayani Chunya, umaarufu wake haujatokana tu na busara zake katika jamii bali pia umaarufu huo unatokana na ubunifu wake mkubwa katika masuala ya kilimo na ufugaji.

Huyu ndiye anayetengeneza Rekodi ya pekee mkoani Mbeya kama si Tanzani kwa ujumla, rekodi hiyo inatokana na ubunifu wa wa hali ya juu kwa kufuga Mbwa zaidi ya 100 ambao hutumika kuchunga ng'ombe wakiwa kwenye malisho. Lakini habari kamili tutawaletea wiki ijayo, karibuni sana ili ikiwezekana tumuunge mkono Mzee Mwembe kwa ubunifu huo na kuifanya nguvu kazi ya binadamu kutumika katika shughuli zingine za maendeleo ya taifa.




Bw. Mwembe akiwa katika pozi baada ya shughuli za kilimo na mifugo





Kijana Frank mmoja wa familia ya Bw. Mwembe

Mmiliki wa mtandao huu wa kijamii (JICHO LANGU BLOGU), Steve Jonas


Kaka Elias akiwaongoza ndama kwenda malishoni


Majira ya saa nne asubuhi mifugo ikisubiri kukamliwa maziwa



Vijana unaweza kuwaita makamanda waongozaji wa mifugo

Kijana akikamua maziwa baada ya hapo ni lishe tu


Vijana wakiongoza mifugo kisha wanawaachia Mbwa

Mifugo ikiwa malisho chini ya ulinzi mkali wa mbwa


Frank akiwa na Paparaz Michael Mbughi kwenye moja ya kazi







Josho la mifugo lilijengwa na Mwembe na kuwasaidia wafugaji

Hii ni hifadhi ya maji kwa ajili ya mifugo

Tuesday, December 17, 2013

ONA TULIKOTOKA NA TUNAKOKWENDA:KIFO CHA RAIS WA KWANZA WA AFRIKA YA KUSINI HAYATI NELSON MANDELA KIFO CHAKE KINATUREJESHA NYUMA KIHISTORIA

Kiongozi wa vita vya msituni nchini Angola na mwanzilishi wa joto la UNITA kwenye harakati ya kuikomboa Angola kutoka ukoloni wa Ureno, hayati Jonas Savimbi akiwa na hayati Nelson Mandela



Hayati Jonas Savimbi katika picha na matukio tofauti

Huu ndio mwili wa hayati Jonas Savimbi baada ya kuuawa vitani kwenye harakati za ukombozi wa kujikwamua mikononi mwa wakoloni wa Ureno
Rais Mzalendo wa kwanza Afrika ya Kusini, hayati Nelson Mandela akiwa na Rais wa kwanza wa Zambia Dr. Kenneth Kaunda
Nelson Mandela akiwapa salute wananchi wake

Nelson Mandela akiwa na Michael Jackson enzi za uhai wao

Kifo cha Nelson Mandela kimeligusa Bara lote la Afrika na Dunia kwa ujumla wala sio pigo kwenu tu watu wa South Africa, Mungu atupe moyo wa uvumilivu katika kipindi hiki kigumu cha kupata viongozi wa aina ya hayati Nelson Mandela

Ni siku ya kilio na majonzi siku Rais mzalendo Nelson Mandela alipotangazwa amefariki

Poleni: Pichani ni wajane wa Simba wa Afrika, Nelson Mandela

Mjane wa Nelson Mandela, Graca Machel akiwa na Askofu Desmond Tutu

Mkazi mmoja wa South Afrika akisaini kwenye uso wa picha wa Nelson Mandela

Kutoka kushoto ni  aliyekuwa Rais wa kwanza wa Afrika Kusini hayati Nelson Mandela, katikati ni Rais mstaafu wa awamu ya tatu wa Tanzania Benjamin William Mkapa

Aliyekuwa Rais wa kwanza wa Tanzania hayati Julius Kambarage Nyerere

Hayati Julius Kambarage Nyerere baada ya kupigania Uhuru wa Tanganyika

Kushoto ni Rais wa kwanza wa Afrika Kusini hayati Nelson Mandela akiwa na swahiba wake Rais wa kwanza Tanzania hayati Julias Nyerere jijini Dar es salaam

Baba wa Taifa wa Tanzania hayati Julius Kambarage Nyerere akiwa na Kwame Nkruma Rais wa kwanza wa nchi ya Ghana katika harakati za ukombozi wa nchi zao na Bara la Afrika

Tanzania na Afrika Kusini ni ndugu: Hayati Nyerere na hayati Mandela enzi za uhai wao




Wana harakati wa ukombozi wa Bara la Afrika, kushoto ni Rais wa kwanza wa Tanzania hayati Julius Kambarage Nyerere na kulia ni Rais wa kwanza wa Ghana hayati Kwame Nkruma katika picha ya pamoja

Picha inaonesha Ramani ya Bara la Afrika na mikono ikiachanisha Pingu kama ishara ya ukombozi wa Bara hilo kutoka mikononi mwa Ukoloni

Rangi za Bendera nchi ya Ghana iliyokuwa ikiongozwa na Rais hayati Kwame Nkruma



Hapa kuna Sam Nujoma wa Namibia, Dr. Keneth Kaunda wa Zambia, Samora Machel wa Msumbiji, Julius Kambarage Nyerere wa Tanzania, Robert Mugabe wa Zimbabwe na Jonas Savimbi wa Angola

Nyerere na washirika wake

Samora Machel na mwenyeji wake nchini Zambia, Dr. Kenneth Kaunda

Katika kundi hili ni Robert Mugabe na Dr. Kenneth Kaunda ambao bado wapo hai

Samora Machel

Kushoto ni aliyekuwa  Rais wa kujitegemea wa Msumbiji hayati Samora Machel na kulia ni hayati Nelson Mandela

Nyerere na Machel

Hayati Samora Machel