Wednesday, November 28, 2012
"MZEE WA MAKABILA" MPEPO IS NO MORE

Taarifa kutoka chanzo
chetu zinasema Mpepo amefariki dunia wakati akipewa matibabu katika Hospitali
ya Muhimbili.
Kwa mujibu wa Taarifa
iliyotolewa na Meneja wa Kituo hicho cha Redio Freddy Herbet imesema ni kweli
mpendwa wao amewatoka na juhudi za mazishi zinaendelea kufanyika.
Mtangazaji huyo miezi
miwili iliyopita alifunga pingu za maisha. Alizaliwa Desemba 17, 1980
Subscribe to:
Posts (Atom)