Friday, January 25, 2013

NASAHA ZA MKURUGENZI WA UTPC ZAIWEKA PAZURI MBEYA PRESS CLUB


Mkurugenzi wa umoja wa vilabu vya waandishi wa habari nchini (UTPC) Abubakar Karsan wakati akiongea na waandishi wa habari mkoani Mbeya.

Baadhi ya waandishi wa habari mkoani Mbeya waliohudhuria mkutano wadharula Januari 19,2013 mkutano uliowaondoa madarakani viongozi wa Klabu ya waandishi wa habari mkoani humo.Mkutano huo ulikwisha kwa amani na utulivu lakini pia busara za Mkurugenzi wa UTPC zilikuwa ngao katika mkutano huo wa kuvutana hasa katika maadili ya uongozi,na sasa Klabu inaongozwa na viongozi wa muda kwa kipindi cha miezi minne kuanzia tarehe hiyo hadi mwezi Aprili tarehe kama hiyo mwaka huu