Wednesday, December 5, 2012

MATUMIZI YA VYANDARUA YAZIDI KUPOTEZA MALENGO YA MALARIA


Chupa chakavu zikiwa zimefungwa vizuri katika vyandarua tayari kwa kusafirishwa kwenda DSM

Camera ya Mbeya yetu imeyafumania mafurushi hayo jirani na Mbeya Carnival



Bonge la mzigo limefungwa kwenye eneo la Mafiati mjini Mbeya tayari kwa kusafirishwa




No comments:

Post a Comment