BAADHI ya wananchi wa Kijiji cha Songwe katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya wameandamana tangu asubuhi jana kwa ajili ya kuishinikiza Serikali
kuweka matuta eneo hilo baada ya kutokea ajali za mara kwa mara katika eneo hilo ambapo jana ajali mbaya ya mtoto Ezekiel Mwaula mwanafunzi wa shule ya msingi ya Saruji ilitokea ,Uongozi wa wilaya ya Mbeya pamoja na Tanroad mkoa wa Mbeya
wakiongozwa na Injinia Simon Mkina wamefika kuwaomba wananchi watulize hasira,
hatimaye wananchi wamekubali kwa kuchagua viongozi watano ii kufuatilia utekelezaji.
|
No comments:
Post a Comment