Hii ni sehemu ya vifusi vilivyotelekezwa kwenye barabara za mitaa ya Iwambi jijiniMbeya. |
Hali hii ndivyo ilivyo kwenye barabara za mitaa ya Iwambi |
Hali hii kwenye barabara hii hadi sasa ni zaidi ya majuma manne tangu vimwagwe kwenye eneo hili na haijafahamika ni kwa nini. |
Jiji fanyeni linalowezekana ili kuwaondolea adha hii wakazi wa Iwambi, mlianza vizuri imekuaje mmekwama kiasi hoiki? Huu sasa ni uchafu ni vyanzo vya magonjwa likiwemo tatizo la kifua kikuu. |
Mtandao huu utaendelea kulifuatilia jambo hili kwa wahusika ili kubaini kulikoni. |
No comments:
Post a Comment