Wednesday, September 12, 2012

MAANDAMANO YA AMANI YA WAANDISHI WA HABARI MKOA WA MBEYA


 Sasa maandamano yanapita maeneo ya Ujenzi huko Magari mengine yakiwa pembeni.

 Waandishi wakiwa wanaendelea na maandamano kuelekea mjini, Haya ni maandamano ya amani

 Liveee!!!! RPC mkoa wa Mbeya akiwa anakatiza Mbele ya maandamano ya waandishi wa Habari 
 RPC Huyoo anakatiza zake huku maaandamano yanaendelea
Sasa Gari la RPC Linaishia zake wakati waandishi wanaendelea na maandamano, ikumbukwe  ni maandamano ya amani tu.

Sasa maandamano yapo eneo la Lift Valley 

No comments:

Post a Comment