Thursday, April 12, 2012

CRISTIANO AVUNJA REKODI KUFUNGA MAGOLI 40 ULAYA



U
likuwa ni usiku wa kuvunja rekodi kwa Cristiano Ronaldo !!!!!
*Cristiano amekuwa ndio mchezaji wa kwanza katika ligi kubwa nne (ITA, SPA, GER, ENG) Kufunga magoli 40 katika misimu miwili mfululizo.
 *Pia jana usiku Ronaldo aliweka rekodi ya mchezaji wa kwanza kwenye La Liga kuwahi kufunga mabao 20 katika viwanja vya ugenini.
*Pia Ronaldo amekuwa ndio mchezaji wa kwanza kufunga hat tricks saba katika msimu wa La Liga.

No comments:

Post a Comment