Thursday, April 12, 2012

YURI GAGARIN BINADAM WA KWANZA KUFIKA ANGA ZA MBALI MWAKA 1963



B
inadamu kwa mara ya kwanza alifika katika anga za mbali na kuizunguka dunia.
 
Siku hiyo Yuri Gagarin mwana anga wa Urusi ya zamani aliyekuwa na umri wa miaka 27 aliizunguka dunia kwa dakika 89 kwa kutumia chombo cha anga za mbali kwa jina la Vastok 1 na kwa msingi huyo kulipatikana mafanikio makubwa katika sekta ya masuala ya anga.
Gagarin alifariki dunia akiwa pamoja na mmoja wa viongozi wa ngazi ya juu wa sekta ya masuala ya anga wa Urusi ya zamani katika ajali ya ndege hapo mwaka 1968.

No comments:

Post a Comment