Thursday, March 1, 2012

MKUTANO MKUU WA MWAKA WA WAKULIMA WA CHAI RUNGWE

Thursday, March 1, 2012

MVUA YAENDELEA KUNYESHA MKOA WA MBEYA


Mgeni rasmi katibu tawala wa wilaya Rungwe Moses Mmdede akifungua mkutano huo wa mwaka wa  wakulima wadogo wa chai kushoto ni mwenyekiti wa chama hicho Bwana Jonson Mwakasege

Mkurugenzi wa chama cha wakulima wadogo wa chai Bwana Leby Hadson akisoma taarifa ya mwaka katika mkutano huo

Mhasibu wa chama hicho Bwana Juma Liganga akitoa taarifa ya mapato na matumizi ya mwaka katika mkutano huo

Baadhi ya wanachama wa chama cha wakulima wadogo wa chai wakimsikiliza mgeni rasmi


Hii ndiyo bodi ya chama cha wakulima wadogo wa chai Rungwe

Mkutano unaendelea

No comments:

Post a Comment