Wednesday, March 7, 2012

WANAFUNZI WA KIISLAMU KUGOMA NCHI NZIMA


KARIBUNI KWENYE BLOG HII YA KIJAMII ITAKAYOKUFAHAMISHA HABARI NYINGI ZA KIUCHUNGUZI NA AFYA ZA VI


TAARIFA za uhakika zilizoufikia mtandao huu wa kalulunga.blogspot.com zimesema kuwa kesho kutwa tarehe 9.03.2012 wanafunzi wa kiislam wanatarajia kugoma wakiishinikiza serikali kujenga misikiti katika kila shule za sekondari za serikali.

Maandalizi yamgomo huo yameelezwa kukamilika ambapo mwendelezo wa sakata hilo ni kutoka Ndanda ambapo kwa mkoa wa Mbeya shule moja ya wavulana ndiko kumeelezwa kuwa na makao makuu ya maandalizi hayo.

Shule hiyo mwaka jana 2011 Kiranja mkuu wa shule hiyo ambaye ni Mkristo alinusurika kuchinjwa kwa kile kilichoelezwa kuwa alikashifu dini ya wenzake.

Taarifa zaidi endelea kutembelea mtandao huu

No comments:

Post a Comment