Monday, May 28, 2012

WAMACHINGA MBEYA KUHAMISHWA -IMEFAHAMIKA


TAARIFA ambazo zimethibitishwa na Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya Juma Idd zimeeleza kuwa kufikia Trehe 15 mwazi wa sita mwaka huu 2012, zoezi la kuwahamisha wamachinga katikati ya Jiji la Mbeya litafanyika.

Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake leo, Mkurugenzi huyoamesema kuwa mwisho wa wamchinga hao kuwepo katikati ya Jiji ni tarehe 30 mwezi huu wa tano baada ya hapo zoezi la kuwahamishia wamachinga hao katika maeneo yaliyotengwa litaanza aua kukamilika..



No comments:

Post a Comment