TAARIFA
ambazo zimethibitishwa na Mkurugenzi wa Jiji la Mbeya Juma Idd
zimeeleza kuwa kufikia Trehe 15 mwazi wa sita mwaka huu 2012, zoezi la
kuwahamisha wamachinga katikati ya Jiji la Mbeya litafanyika.
Akizungumza
na waandishi wa habari ofisini kwake leo, Mkurugenzi huyoamesema kuwa
mwisho wa wamchinga hao kuwepo katikati ya Jiji ni tarehe 30 mwezi huu
wa tano baada ya hapo zoezi la kuwahamishia wamachinga hao katika
maeneo yaliyotengwa litaanza aua kukamilika..
No comments:
Post a Comment