Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeteua
waamuzi kutoka Tunisia na Misri kuchezesha mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia
hatua ya makundi kati ya Taifa Stars na Ivory Coast itakayochezwa Juni 2 mwaka
huu jijini Abidjan.
mwamuzi msaidizi namba moja ni Bechir Hassani, wote kutoka Tunisia. Mwamuzi
msaidizi namba mbili ni Sherif Hassan kutoka Misri. Mwamuzi wa akiba ni Youssef
Essrayri pia kutoka Tunisia.
Mtathmini wa waamuzi (referee
assessor) ni Rachid Medjiba kutoka Algeria wakati Kamishna wa pambano hilo
atakuwa Saleh Issa Mahamat kutoka Chad.
No comments:
Post a Comment