Tuesday, July 17, 2012

KIKAO CHA MAADILI CHA WANACHAMA WA HABARI MKOANI MBEYA



 Mwenyekiti wa kamati ya maadili ya Mbeya Press club Ndugu Mwakipesile akimkaribisha Mwenyekiti wa Mbeya Press Club 
 Mwenyekiti wa Mbeya Press Club Ndugu Christopher Nyanyembe  akifungua kikao cha maadili 
 Mmoja wa waandishi akichukua tukio



 Waandishi wakifuatilia kwa umakini kikao 
Picha ya pamoja ya wana Mbeya Press club baada ya kikao

No comments:

Post a Comment