Wednesday, July 25, 2012

TAKWIMU ZA MATUMIZI KATIKA MASUALA YA INTANETI

TAKWIMU za matumizi ya Intaneti zimeonyesha kuwa Bara la Asia linaongoza kwa matumizi ya Intaneti. Huku Afrika ikishika nafasi ya 5 katika Mabara 7  ulimwenguni. Takwimu hizo ni za mwaka 2011 kwa mujibu wa INTERNET WORLD STATS.

No comments:

Post a Comment