JICHO LANGU BLOGU
Wednesday, July 25, 2012
TAKWIMU ZA MATUMIZI KATIKA MASUALA YA INTANETI
TAKWIMU za matumizi ya Intaneti zimeonyesha kuwa Bara la Asia linaongoza kwa matumizi ya Intaneti. Huku Afrika ikishika nafasi ya 5 katika Mabara 7 ulimwenguni. Takwimu hizo ni za mwaka 2011 kwa mujibu wa INTERNET WORLD STATS.
No comments:
Post a Comment
Newer Post
Older Post
Home
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment