Saturday, August 18, 2012

SHEREHE FUPI ZA UZINDUZI WA MRADI MKUBWA WA MAJI MBEYA







Hapa ilikuwa mida ya kujiandaa kuingia katika ukumbi kwa ajili ya sherehe hizo fupi. 
Washika dau wakiwa katika meza yao hapa  
 Mmoja wa wafanyakazi wa Idala ya maji wa pili kutoka kushoto akipata ukodaki na wadau
Ilikuwa full Happy pipo hapa baada ya kazi nzito kumalizika 
 
Sherehe zinaendelea hapa 
Hii ilikuwa ni Sherehe fupi baada ya kufanya uzinduzi wa mradi wao mkubwa mwezi uliopita, ambapo Menejiment nzima ya idara hiyo ya maji walikutana na kujipongeza

No comments:

Post a Comment