Wednesday, August 8, 2012

POLISI ALIYEJINYONGA MORO ALIMWANDIKIA BARUA WAZIRI KUMLIPUA IGP


 Nakala ya barua ya askari Dunga kwa Waziri wa Mambo ya Ndani Nakala ya barua inaendelea hapa  Baadhi ya wananchi na maaskari wakijadiliana jambo kwenye mwili huo wa Afande DungaDanstan Shekidele Siku chache kabla ya kifo chake askari polisi mwenye namba F 3276, Donald Mathew (33), aliyejinyonga juu ya mti katika daraja la Shani, mkoani Morogoro alimwandikia barua Waziri wa Mambo ya Ndani kueleza kinachodaiwa kuwa ni ufisadi unaofanywa na vigogo wa polisi nchini, imebainika. Polisi huyo aliyefahamika sana kwa jina la Dunga aliwahi kutoa tuhuma nzito dhidi ya maofisa, wakaguzi na polisi wa kawaida, mkoani Morogoro mwaka jana lakini...

No comments:

Post a Comment