Wednesday, August 8, 2012

BARUA YA ASKARI ALIYEJINYONGA MJINI MOROGORO HII HAPA


UKISOMA barua ya Afande Dunga aliyomuandikia Waziri wa mambo ya ndani[isome hapo chini] pamoja na mambo mengine aliwashutumu askari wenzake kumua  mfanyabiashara maarufu jijini Dar es salaam J.B na wenzake eneo la nane nane mkoani hapo miaka kadhaa iliyopita. Pichani ni mwili wa J B ukivuja damu baada ya kupigwa risasi na Polisi akidaiwa kuwa ni jambazi,picha hii niliipiga chumba cha kuhifadhia maiti hospital ya mkoa wa Morogoro,picha hii na zamaremu wengine aliokuwa nao JB ziko kwenye maktaba yangu ya picha. KABLA ya kufikwa na mauti Afande Donald Julius Mathew'Dunga'[33] alimpatia barua (Mwandishi wa habari Dustan Shekidele)...


No comments:

Post a Comment