Tanzania ni nchi moja wapo ya nchi zinazo athirika kila siku kufuatia uharibifu wa mazingira na vyanzo ya maji kitendo ambacho ni hatari kwa siku za usoni.
Nchini Tanzania misitu uharibiwa kwa kiasi kikubwa wakati wananchi wanapo kata miti bila kujali miti ya asili ambayo inaweza kuwa chanzo cha chemi chemi zinazo unda mito,tatizo la uharibifu huo ni kujitafutia nishati ya kuni kwa matumizi ya nyumbani.
Tujaribu kuiga kwa wenzetu kama picha zinavyoonyesha huu ni mfano mzuri ambao pia unaweza kutengeneza ardhi yenye rutuba kwaajili ya kustawisha mimea mbali mbali ikiwemo mimea ya mazao ya chakula na biashara
No comments:
Post a Comment