![]() |
Je, huyu dada anawezaje kupita mitaa ya kwetu na ni nini kitatokea? JICHO LANGU BLOGU haipendi kuona dada zetu wa kibongo wakiwa katika hali ya namna hii, mambo ya mamtoni tuwaachie wenyewe |
![]() |
Mavazi waliyovalia hawa vigoli wa Kidosi ni sehemu ya utamaduni wao lakini kwa wabongo eti ni fasheni |
No comments:
Post a Comment